Wizara yafafanua kuhusu homa ya Dengue

Msemaji wa wizara ya afya na ustawi wa jamii, Nsachris Mwamwaja.

Wizara ya afya na ustawi wa jamii nchini Tanzania imetoa ufafanuzi kuhusiana na hali ya ugonjwa wa Dengue nchini na kwamba mpaka sasa ni wagonjwa 31 tu ndio wamelazwa katika hospitali mbalimbali jijini Dar es Salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS