Baada ya kutua Bongo. Ben Pol asuka michongo

Ben Pol

Baada ya kurejea nchini akitokea nchi Ujerumani kwa shughuli za kimuziki, Msanii wa muziki wa R&B, Ben Pol ametoa ripoti ya safari yake hii, huku akiweka wazi namna alivyofurahishwa na kufanya kazi na DJ wa kimataifa na pia kutengeneza michongo mipya

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS