Manchester City imetupwa nje kombe la carabao
Chelsea FC, Aston Villa, Manchester City na Brighton and Holve Albion timu zinazoshiriki ligi kuu Uingereza zimetolewa kwenye michuano hiyo katika hatua ya 4 bora huku Manchester United, Newcastle United, Arsenal na Liverpool zimefanikiwa kuingia kucheza hatua ya robo fainali ya carabao.