Mwamuzi Mgambo Vs yanga "apigwa Rungu" Mchezaji wa Mgambo Mohamed Neto Mwamuzi aliyechezesha pambano la Mgambo Shooting na ya Yanga ameondolewa katika orodha ya waamuzi wa ligi kuu kutokana na kitendo cha kumpekua mchezaji wa Mgambo kinyume na taratibu. Read more about Mwamuzi Mgambo Vs yanga "apigwa Rungu"