Mwamuzi Mgambo Vs yanga "apigwa Rungu"

Mchezaji wa Mgambo Mohamed Neto

Mwamuzi aliyechezesha pambano la Mgambo Shooting na ya Yanga ameondolewa katika orodha ya waamuzi wa ligi kuu kutokana na kitendo cha kumpekua mchezaji wa Mgambo kinyume na taratibu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS