Waziri wa afya na ustawi wa jamii nchini Tanzania, Dkt Seif Rashid.
Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii imesema jumla ya wagonjwa 376 wameugua ugonjwa wa dengu Jijini Dar es Salaam kuanzia Januari hadi sasa ambapo miongoni mwao wawili wamefariki dunia.