Kamati kuu CCM yalaani UKAWA

Mwenyekiti wa CCM Dkt Jakaya Kikwete na Katibu Mkuu Abdulrahman Kinana katika moja ya vikao vya Kamati Kuu ya CCM

Kamati Kuu ya CCM imekutana leo mjini Dodoma kwa dharura na kujadili masuala kadhaa ikiwa ni pamoja na mwenendo wa mchakato wa kupata Katiba mpya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS