Chameleone akimwagia sifa Kiswahili

Baada ya kushinda tuzo ya wimbo bora wa Afrika Mashariki kutoka katika tuzo kubwa za muziki za KTMA, Jose Chameleone ambaye amekuwa Tanzania kwa siku kadhaa sasa, amekimwagia Kiswahili, lugha ambayo imemfanya kueleweka Afrika Mashariki.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS