FIFA yafungua semina ya CECAFA Dar

Mwenyekiti wa CECAFA, Leodgar Tenga

Mwakilishi wa Katibu Mkuu wa Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA), Nicholas Meignot hii leo amefungua semina ya mawasiliano kwa nchi wanachama wa Baraza la Vyama vya Mpira wa Miguu Afrika Mashariki na Kati (CECAFA).

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS