Wainjilisti wamjia juu Profesa Lipumba

Mwenyekiti wa chama cha upinzani cha CUF, Profesa Ibrahim Lipumba. Umoja wa wainjilisti unamtuhumu Prof Lipumba kwa kuwaita wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kuwa ni intarahamwe.

Umoja wa Wainjilisti Tanzania UWAKITA umeelezea kusikitishwa na kauli zilizotolewa kwenye bunge Maalum la Katiba ambazo hazina uhusiano na rasimu ya Katiba.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS