Dar yakabiliwa na ongezeko la wagonjwa wa Dengu
Wagonjwa wanne kati ya sita wanaofika katika hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala Jijini Dar es Salaam nchini Tanzania kwa ajili ya kupima ugonjwa wa malaria wanagundulika kuwa na vimelea vya wadudu wa homa ya Dengue.