Kikwete atunuku nishani za muungano

Rais wa Tanzania Dkt Jakaya Mrisho Kikwete, akimtunuku nishani ya muungano, rais mstaafu Benjamin William Mkapa

Rais Jakaya Kikwete ametunukia nishani ya kumbukumbu ya miaka hamsini ya muungano, kwa watu mashuhuri nchini wakiwemo marais wastaafu, waasisi wa muungano pamoja na wake wa waasisi hao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS