Rais wa Tanzania Dkt Jakaya Mrisho Kikwete, akimtunuku nishani ya muungano, rais mstaafu Benjamin William Mkapa
Rais Jakaya Kikwete ametunukia nishani ya kumbukumbu ya miaka hamsini ya muungano, kwa watu mashuhuri nchini wakiwemo marais wastaafu, waasisi wa muungano pamoja na wake wa waasisi hao.