Binti asiye na jinsia aomba msaada
Kijana mwenye umri wa miaka 20 mkazi wa Kijiji cha Kinazi Halmashauri ya wilaya ya Buhigwe mkoani Kigoma, ametoa ombi kwa Watanzania, serikali na hata wataalam wa magonjwa ya upasuaji kumsaidia kutatua changamoto aliyonayo ya kutokuwa na jinsia ili awe kama wanadamu wengine.