Mradi wa SGR kuongeza ufanisi wa biashara

Makamu wa Rais Tanzania Dk. Philip Mpango

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango amesema kutekelezwa kwa mradi wa Reli ya kisasa (SGR) kutoka Uvinza mkoani Kigoma nchini Tanzania hadi Kindu DRC kupitia Gitega nchini Burundi kutaongeza ufanisi katika matumizi ya Ukanda huru wa biashara Barani Afrika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS