Bilioni 3 zatengwa kwa vijana wa Tanga

Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii, Simon Mdende,

Halmashauri ya jiji la Tanga imeongeza muda wa dirisha la maombi ya mikopo kwa wanawake, vijana na watu wenye ulemavu ili kupata idadi ya wakopaji inayolingana na kiasi cha shilingi bilioni 3 ambazo zimetengwa na serikali kwa ajili ya kuyawezesha makundi hayo kiuchumi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS