Serikali yatakiwa kuchunguza kujeruhiwa wanasiasa

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC, Jaji Damian Lubuva

Kituo cha sheria na haki za binadamu nchini Tanzania LHRC, kimeitaka serikali kufanya uchunguzi wa kina kubaini sababu za kujeruhiwa kwa wanasiasa wakati wa kampeni mbali mbali za chaguzi zinazofanyika nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS