Konshens kurejea tena Nai

Konshens

Mkali wa miondoko ya Dancehall kutoka nchini Jamaica, Konshens kwa mara ya pili katika historia anatarajia kutua Jijini Nairobi kutumbuiza katika onyesho kubwa litakalofanyika tarehe 12 mwezi Aprili.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS