Bodaboda apigwa risasi na majambazi Geita Amini Salum (30), mkazi wa mtaa wa Nyamalembo Halmashauri ya mji Geita amefariki dunia kwa kupigwa Risasi na majambazi baada ya kumsaidia mtu aliyekuwa anataka kuvamiwa na majambazi hao Read more about Bodaboda apigwa risasi na majambazi Geita