Wakazi ashangaa Zuchu hajui nyimbo zake

Pichani Ni Wakazi na Zuchu

Rapper Wakazi ameendelea kupishana kauli na msanii mwenzie Zuchu yote haya yametokana na mjadala ambao umekuwa ukizingumziwa sana kwa siku ya jana kuhusu baadhi ya wadau na mashabiki kumshindanisha #Jide na #Zuchu katika upande wa uandishi pamoja na live performance

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS