Matokeo darasa la saba yawekwa hadharani Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani NECTA.Dkt.Said Mohamed, ametangaza matokeo ya darasa la saba ambapo ufaulu wa jumla umeongezeka huku ubora wa wanafunzi waliopata madaraja A na B ukiimarika zaidi Read more about Matokeo darasa la saba yawekwa hadharani