Kaya 255 kupisha hifadhi ya shamba la Sao Hill Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk. Angeline Mabula Kaya 255 za vijiji vitatu vya Igeleke, Usokami na Kibengu vilivyopo halmasauri ya wilaya ya Mufindi Mkoani Iringa zitaondolewa kwenye eneo la hifadhi ya Shamba la Sao Hill. Read more about Kaya 255 kupisha hifadhi ya shamba la Sao Hill