Polisi wamkamata Derick Junior

Jeshi la polisi kanda maalumu Dar es Salaam linamshikilia Derick Derick Junior (36) mkazi wa Salasala kinondoni jiji Dar es Salaam kwa tuhuma za kumpiga na kumjeruhi sehemu ya jicho na pua Julian Bujuru kwa kumpiga kitako cha bastola.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS