Juma Mgunda atangazwa Kocha Mkuu Namungo FC

Klabu ya Namungo ya Ruangwa mkoani Lindi imemtangaza Juma Mgunda kuwa Kocha wao mkuu kuchukua nafasi ya Mwinyi Zahera ambaye amepangiwa majukumu mengine ndani ya klabu hiyo

Namungo imeshinda michezo 2 kati ya 7 iliyocheza msimu huu wa 2024-2025 ikiwa na alama 6 pekee huku ikiwa imefunga idadi ya goli 4 na kuruhusu goli 8.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS