Klabu ya Namungo ya Ruangwa mkoani Lindi imemtangaza Juma Mgunda kuwa Kocha wao mkuu kuchukua nafasi ya Mwinyi Zahera ambaye amepangiwa majukumu mengine ndani ya klabu hiyo
Namungo imeshinda michezo 2 kati ya 7 iliyocheza msimu huu wa 2024-2025 ikiwa na alama 6 pekee huku ikiwa imefunga idadi ya goli 4 na kuruhusu goli 8.