Mahakama yapinga Gachagua kung'olewa

Rigathi Gachagua

Mahakama Kuu nchini Kenya imesitisha kwa muda utekelezwaji wa azimio la Bunge la Seneti juu ya hoja ya kumuondoa madarakani Naibu Rais wa Kenya Rigathi Gachagua.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS