Arne Slot aweka rekodi mpya Liverpool

Kocha wa Liverpool ya Uingereza Arne Slot raia wa Uholanzi  ameweka rekodi  ya Kuwa  Mkufunzi  wa kwanza kushinda michezo 11 kati ya 12 iliyocheza mwanzoni mwa msimu  na kuweke rekodi ya klabu hiyo

Arne Slot atakiongoza kikosi chake cha Liverpool kukabiliana na Arsenal ya Mikael Arteta kwenye uwanja wa Emirates siku ya Jumapili Oktoba 27 mchezo utakaochezwa saa 9:30 Usiku kwenye muendelezo wa michezo ya ligi kuu nchini Uiangereza.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS