Polisi atuhumiwa kuvunja mtu mkono

Jeshi la Polisi Tanzania limesema linaendelea kuchukua hatua za kinidhamu dhidi ya Mkuu wa Kituo cha Polisi Wilayani Makete baada ya kulalamikiwa na Levis Mahenge kuwa alimkamata na kumpeleka Kituoni na kumpiga hadi kumvunja mkono

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS