Gachagua augua kifua ashinda kujitetea Naibu Rais wa Kenya Rigathi Gachagua Hali ya Naibu Rais wa Kenya Rigathi Gachagua imeelezwa kuwa tete baada ya kukumbwa na maumivu makali ya kifua hali iliyopelekea kukimbizwa hospitali kwa ajili ya matibabu. Read more about Gachagua augua kifua ashinda kujitetea