"Uchumi wa Tanzania ni imara" - Benki ya Dunia

Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt Mwigulu Nchemba, akia na ujumbe kutoka Tanzania

Benki ya Dunia imeimwagia sifa Tanzania kwa usimamizi mzuri wa uchumi na utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo inayopata fedha kutoka kwenye taasisi hiyo ikilinganishwa na nchi nyingine nyingi za Afrika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS