Migongano ya binadamu na wanyamapori kupunguzwa
Mkurugenzi wa Idara ya Wanyamapori, Dkt. Maurus Msuha amesema moja ya mkakati wa Wizara ya Maliasili na Utalii ni kuhakikisha migongano baina ya binadamu na wanyamapori hasa kwenye maeneo ya pembezoni mwa Hifadhi inapungua kwa kiasi kikubwa.