Wasafiri kupimwa Ebola kwa Magufuli Kituo cha kupimia Ebola stendi ya Magufuli Serikali imeweka kituo maalum cha ufuatiliaji wa ugonjwa wa Ebola kwa abiria wanaotoka mikoa ya mipakani mwa Tanzania na nchi jirani katika kituo kikuu cha mabasi cha Magufuli jijini Dar es Salaam. Read more about Wasafiri kupimwa Ebola kwa Magufuli