Mwili wakutwa umefukiwa kando ya barabara

Baadhi ya maafisa wa polisi wakiwa na mwili walioufukua

Jeshi la Polisi wilayani Kiteto mkoani Manyara, limefukua mwili wa mtu mmoja ambaye hajafahamika ukiwa umeharibika vibaya huku ukiwa umezungushiwa mfuko aina ya salfeti na kufukiwa chini katika kijiji cha Mbigili, Kata ya Partimbo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS