Ukarabati soko kuu Shinyanga waanza

Soko kuu la Manispaa ya Shinyanga lililojengwa zaidi ya miaka 40 iliyopita na kusababisha miundombinu yake kuchakaa, limeanza kufanyiwa ukarabati kwa kujenga gorofa kwa kutumia fedha za mapato ya ndani ili kuwawezesha wafanyabiashara kufanya shughuli zao katika mazingira mazuri na salama

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS