''Simba inaogopwa Afrika''-Barbara Gonzalez
Mtendaji mkuu wa klabu ya Simba Barbara Gonzalez amesema kikosi cha klabu hiyo kimekuwa kikiogopwa na timu zinazopangiwa kucheza nazo kwenye michuano ya kimataifa huku akijinasibu kama klabu wapo tayari kutimiza malengo ya klabu kwa msimu huu