Shirika la Posta lawasaidia watoto mkoani Rukwa

Shirika la Posta Tanzania Sumbawanga  Mkoani Rukwa, limetoa msaada wa wa vyakula na mafuta kwa watoto wenye mahitaji maalum wanaosoma  shule ya Msingi Malamngali, inayohudumia watoto wenye mahitaji maalum ikiwa ni juhudi za kuhakikisha wanapata huduma stahiki na afya bora.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS