Mzee ambaka mwanafunzi mchana kweupe kwa elfu 10

shilingi elfu 10

Mzee Aboubakar Said (64), mkazi wa Kata ya Ndembezi Manispaa ya Shinyanga, anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani humo kwa tuhuma za kumbaka mwanafunzi wa kidato cha kwanza baada ya kumrubuni kwa kumpa shilingi elfu 10.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS