Walioshinda 'Golden Buzzer' wamshukuru Rais Samia

The Ramadhan Brothers wakiwa kwenye studio za East Africa Radio

Vijana wawili wanaojiita za The Ramadhan Brothers, ambao video yao ilisambaa mitandaoni wakiwa kwenye mashindano ya Australia got talent, na kubonyezewa Golden Buzzer baada ya kufanya mazuri wameishukuru serikali ya Rais Samia kwa namna ambavyo imekuwa ikiwatia moyo wasanii.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS