Sera ya elimu mahitaji maalum yazinduliwa UDSM

Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mh. Omary Juma Kipanga (katikati) akizindua Sera ya elimu mahitaji maalum UDSM 2022

Ili kuhakikisha kwamba wanafunzi wenye mahitaji maalum wanapata elimu kwa usawa na kufikia malengo yao ya kielimu, Naibu Waziri wa Elimu amezindua Sera ya elimu kwa watu wenye mahitaji maalum Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS