Wadau wa ubunifu wakiwa na mkurugenzi wa Sahara Ventures
Shirika la mpango wa maendeleo la umoja wa mataifa UNDP limesema Tanzania ina vijana wengi wenye mawazo mazuri ya kibunifu lakini wanashindwa kuyaendeleza kwasababu hawana mbinu za kurasimisha ubunifu wao.