Wapinzani wa Yanga kutua Dar Alhamisi Al Hilal Kikosi cha Al Hilal kutua Jijini Dar es Salaam Alhamisi wakitokea nchini Congo,tayari kwa kuikabili Yanga kwenye mchezo wa hatua ya kwanza ya Ligi ya mabingwa Afrika utakaopigwa jumamosi tarehe 8 mwenzi huu. Read more about Wapinzani wa Yanga kutua Dar Alhamisi