Wapinzani wa Yanga kutua Dar Alhamisi

Al Hilal

Kikosi cha Al Hilal kutua Jijini Dar es Salaam Alhamisi wakitokea nchini Congo,tayari kwa kuikabili Yanga kwenye mchezo wa hatua ya kwanza ya Ligi ya mabingwa Afrika utakaopigwa jumamosi tarehe 8 mwenzi huu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS