WATAKAOTOROSHA MADINI WANAITAFUTA JELA

Waziri wa Madini Dkt. Dotto Biteko

Waziri wa Madini Dkt. Dotto Biteko amewaonya wachimbaji wa Dhahabu wanaotorosha madini hayo kwa kupunguza thamani yake kukiona cha moto kwani serikali imejenga miundombinu ya kuuzia dhahabu na imepunguza gharama ya tozo zilizokuwa zinawafanya wachimbaji wakwepe masoko ya ndani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS