Shamba la bangi lateketezwa Mara

Shamba la bangi  hekari mbili limeteketezwa kwa moto katika kijiji cha Tatwe kata ya Goribe wilayani Rorya mkoani Mara katika oparesheni maalum ya tokomeza uhalifu  ikiwa ni pamoja na kuwasaka wezi wa mifugo 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS