Mwanaume adaiwa kuwawekea sumu watoto wa kambo

Katika hali isiyo ya kawaida mwanaume mmoja ajulikanae  kwa jina la Kichele Marwa mwenye umri wa miaka 48   mkazi wa mtaa wa Igelegele  kata ya Mahina mkoani Mwanza anadaiwa kuwawekea sumu kwenye uji watoto wake wa kambo kwa lengo la kuwauwa ili aishi vizuri na mama yao

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS