Ujenzi wa Daraja la Jangwani kuanza Desemba 2022

Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Mijini na Vijijini TARURA Mhandisi Victor Seif amesema ujenzi wa daraja la Jangwani Jijini Dar es salaam utaanza mwezi Desemba mwaka huu 2022 ambapo tayari  usanifu wa daraja hilo umekamilika

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS