Wadau wa utalii duniani kukutana Arusha

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Masanja akizungumza na Kamati ya kitaifa ya maandalizi ya Mkutano wa 65 wa Shirika la Utalii Duniani (UNWTO)

Wawekezaji wa sekta ya utalii kutoka mataifa mbalimbali ulimwenguni wanatarajiwa kukutana jijini Arusha katika Mkutano wa 65 wa Shirika la Utalii Duniani (UNWTO) Kamisheni ya Afrika unaotarajiwa kufanyika Oktoba 5-7, 2022 jijini Arusha.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS