Tembo Warriors yapata sare na Hispania Timu ya Tanzania ya mpira wa miguu kwa Walemavu(Tembo Warriors ) imetoka suluhu kwenye mchezo wake wa kwanza wa mashindano ya Kombe la Dunia 2022 dhidi ya timu ya Hispania uliofanyika leo Oktoba 1, 2022. Read more about Tembo Warriors yapata sare na Hispania