Tembo Warriors yapata sare na Hispania 

Timu ya Tanzania ya mpira wa miguu kwa Walemavu(Tembo Warriors ) imetoka suluhu kwenye mchezo wake wa  kwanza wa mashindano  ya Kombe la Dunia 2022 dhidi ya timu ya Hispania uliofanyika leo Oktoba 1, 2022.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS