Mapinduzi yanukia Burkina Faso  

Kunasikika milio mikubwa ya risasi nchini Burkina Faso  katika mji mkuu  Ouagadougou huku kukiwa na taarifa kwamba Televisheni ya Taifa imezimwa. Baadhi ya barabara zimefungwa kwenye mji huo mkuu huku mitandao ya kijamii ikisema kwamba huenda kuna mapinduzi yanafanyika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS