Watalii wameongezeka nchini - Majaliwa

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiongozana na Naibu Waziri Mkuu wa Mauritius kwenda kwenye ukumbi wa mikutano wa Gran Melia jijini Arusha kufungua Mkutano wa 65 wa Shirika Utalii Duniani - Kamisheni ya Afrika kwa naiba ya Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan , Oktoba 5, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema takwimu za mwaka 2021 zinaonesha kuwa watalii wanaokuja nchini Tanzania wameongezeka kwa asilimia 48.6 kutoka watalii 620,867 mwaka 2020 na kufikia watalii 922,692 mwaka 2021.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS