Qatar yakaribishwa kuwekeza Tanzania.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na Waziri wa Afya wa Qatar Dkt. Hanan Mohamed Al Kuwari

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Fedha wa Qatar ambaye pia ni Mwenyekiti wa Ukarimu wa Katara Mhe. Ali bin Ahmed Al Kuwari na ujumbe wake, Doha nchini Qatar.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS