Wamachinga Dar es salaam waomba ulinzi

Viongozi wa chama cha wamachinga mkoa wa Dar es salaam wametaka kukomeshwa mara moja kwa makundi ya kihalifu maarufu kama Panyaroad ambapo wamesema baadhi ya wamachinga wamekuwa ni wahanga na makundi hayo na hivyo kuwarudisha nyuma kiuchumi

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS