Rodri ashinda tuzo ya BALLON D'OR
Nyota wa klabu ya Manchester City na timu ya taifa ya Hispania Rodrigo Hernández Cascante, maarufu kama Rodri ameshinda tuzo ya Ballon D'or kwenye sherehe za kukabidhi tuzo hizo zilizofanyika Jiji la Paris nchini Ufaransa. Rodri ameshinda tuzo hiyo mbele ya Vinicius Junior wa Real Madrid