Tuwekeze ubunifu kwenye sekta ya afya-Rais Samia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ametoa rai hiyo wakati akihutubia viongozi mbalimbali (hawapo pichani)kwenye ufunguzi wa Mkutano wa Ubunifu wa Afya Duniani (World Innovation Summit for Health) uliofanyika hii leo Doha nchini Qatar.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema ili kuwa na afya imara kwa watu katika taifa ni muda sasa wa mataifa yanayoendelea kuwekeza katika ubunifu ambazo zitaimarisha na kuinua sekta ya afya ili kuwa na uwezo wa kupambana na maradhi yanayolipuka.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS