Katibu wa Wizara ya Fedha na Mipango dkt Emmanuel Tutuba(Kushoto mwenye miwani)akipokea ripoti ya mali zilizotumika katika uhalifu kutoka kwa DPP.
Ofisi ya Taifa ya Mashtaka (DPP) imekabidhi Wizara ya Fedha na Mipango mali 8,188 zenye thamani ya billion 4.4 zilizotumika kutenda uhalifu mbalimbali nchini.